- Видео 2 882
- Просмотров 17 735 291
Mwanzo TV Plus
Кения
Добавлен 5 июн 2014
Independent Online Media serving East Africa with premier news - Uncensored and Undaunted
'WANAOMSEMA LISSU, IJE IKATOKEA AKASHINDA URAIS?'
'WANAOMSEMA LISSU, IJE IKATOKEA AKASHINDA URAIS?'
Просмотров: 1 359
Видео
'CCM INAFANYA HAYA YOTE ILI TUSIWE NA SAUTI MOJA!'
Просмотров 63517 часов назад
'CCM INAFANYA HAYA YOTE ILI TUSIWE NA SAUTI MOJA!'
DUH! WANAFUNZI 534 WAKATIZA MASOMO JUU YA MIMBA
Просмотров 8218 часов назад
DUH! WANAFUNZI 534 WAKATIZA MASOMO JUU YA MIMBA
MAJABU! WADADA POA 18 WADAKWA MWANZA
Просмотров 5132 часа назад
Jeshi la polisi mkoani Mwanza linawashikilia makahaba 18 waliokutwa wanafanya biashara ya kuuza miili yao ili kujipatia kipato katika eneo la shule ya msingi Kitangiri A iliyopo Ilemela mkoani Mwanza.
WAKILI OLESHANGAY AKIWASHA- NGUZO KUU YA MUUGANO WETU NI UNAFIKI
Просмотров 1,3 тыс.2 часа назад
WAKILI OLESHANGAY AKIWASHA- NGUZO KUU YA MUUGANO WETU NI UNAFIKI
'WAZANZIBAR WANATAKAJE KWA MAMBO YA MUUNGANO IKIWA BAADHI YAO WANASEMA LISSU ANALETA UKABILA'
Просмотров 1,3 тыс.2 часа назад
'WAZANZIBAR WANATAKAJE KWA MAMBO YA MUUNGANO IKIWA BAADHI YAO WANASEMA LISSU ANALETA UKABILA'
BALAA! GHARAMA YA JUU YA MOCHWARI MBEYA
Просмотров 1432 часа назад
BALAA! GHARAMA YA JUU YA MOCHWARI MBEYA
LISSU AKIWASHA KUHUSU MAMLAKA YA RAIS TANZANIA
Просмотров 1,1 тыс.4 часа назад
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu sasa anataka mamlaka ya rais wa nchi ya Tanzania ipunguzwe. Lissu amesema katiba ya sasa ya Tanzania inampa rais aliye madarakani mamlaka kubwa zaidi kupita kiasi ambapo iwapo rais atavunja sheria yeyote ile, katiba inampa kinga ya kutoshtakiwa.
JOHN HECHE ACHAFUA HALI YA HEWA IRINGA, AWAPIGA SPANA VIONGOZI WA SERIKALI, ATOA MADINI MAZITO
Просмотров 4,5 тыс.7 часов назад
#TANZANIA: John Heche achafua hali ya hewa Iringa, awapiga spana nzito Viongozi wa Serikali, atoa madini mbele ya Lissu, amwagia sifa zote Msigwa. Zaidi: ruclips.net/video/2PXfNiUS-uI/видео.html
PETER MSIGWA AUWASHA MOTO MZITO IRINGA, "MAMLAKA HAYATOKI KWA WANANCHI, TUNATAKA KATIBA MPYA"
Просмотров 4,2 тыс.7 часов назад
#TANZANIA: Peter Msigwa auwasha moto mzito Iringa, aivaa Serikali ya CCM kwa kutoheshimu Katiba adai wateule wa Rais ndio wenye nguvu kuliko waliochaguliwa na wenye nchi, "mamlaka hayatoki kwa Wananchi, wateule wa Rais ndio wenye nguvu kuliko waliochaguliwa na Wananchi, tunataka KatibaMpya"
LISSU AKINUKISHA IRINGA BALAA, APIGA SPANA NZITO, AWAPASUA POLISI, MVAA RAIS SAMIA NA MTOTO WAKE
Просмотров 10 тыс.7 часов назад
#TANZANIA: Huu moto wa #Lissu #Iringa ni balaa, apiga #spana nzito, awapasua #Jeshi la #Polisi, amvaa Rai #Samia na mtoto wake, adai anahonga #hela hadi baadhi ya wagombea wa #Chadema.
HUU MOTO WA LISSU BUNGENI 2015 NI BALAA, PINDA NA POLISI WALIKIPATA CHA MOTO, "CCM NI MA FASHISTI"
Просмотров 1,3 тыс.7 часов назад
HUU MOTO WA LISSU BUNGENI 2015 NI BALAA, PINDA NA POLISI WALIKIPATA CHA MOTO, "CCM NI MA FASHISTI"
RAIS SAMIA YALIYOKUJA KUMTOKEA ALIYAPANDA KWA MIKONO YAKE MWENYEWE
Просмотров 3989 часов назад
RAIS SAMIA YALIYOKUJA KUMTOKEA ALIYAPANDA KWA MIKONO YAKE MWENYEWE
BALAA ZITO! BILIONI 200 KUTUMIKA KATIKA MAZAO TANZANIA
Просмотров 269 часов назад
BALAA ZITO! BILIONI 200 KUTUMIKA KATIKA MAZAO TANZANIA
WAKILI OLESHANGAY AKIWASHA-SI HAKI SAMIA KUFICHA UWOVU WAKE NDANI YA UZANZIBARI
Просмотров 2,2 тыс.9 часов назад
WAKILI OLESHANGAY AKIWASHA-SI HAKI SAMIA KUFICHA UWOVU WAKE NDANI YA UZANZIBARI
"HAKUNA RAIS AMEWAHI KUTOKEA KATIKA MUUNGANO WA KUIPENDELEA ZANZIBARI KAMA SAMIA"
Просмотров 2,2 тыс.9 часов назад
"HAKUNA RAIS AMEWAHI KUTOKEA KATIKA MUUNGANO WA KUIPENDELEA ZANZIBARI KAMA SAMIA"
"KERO KUBWA YA MUUNGANO UPO KATIKA MUUNGANO WENYEWE"
Просмотров 8169 часов назад
"KERO KUBWA YA MUUNGANO UPO KATIKA MUUNGANO WENYEWE"
HATUSEMI SAMIA KWA SABABU NI MZANZIBARI, TUNAMSEMA KA UKATILI WAKE
Просмотров 2809 часов назад
HATUSEMI SAMIA KWA SABABU NI MZANZIBARI, TUNAMSEMA KA UKATILI WAKE
PATRICK OLE SOSOPI AIVAA SERIKALI YA CCM MOROGORO JUU YA MIGOGORO YA ARDHI, ASISITIZA UPENDO
Просмотров 8909 часов назад
PATRICK OLE SOSOPI AIVAA SERIKALI YA CCM MOROGORO JUU YA MIGOGORO YA ARDHI, ASISITIZA UPENDO
BALAA LA LISSU MIAKA 10 ILIYOPITA JUU YA MUUNGANO, RAIS SAMIA AKIWA M/KITI WA BUNGE LA KATIBA
Просмотров 3,8 тыс.9 часов назад
BALAA LA LISSU MIAKA 10 ILIYOPITA JUU YA MUUNGANO, RAIS SAMIA AKIWA M/KITI WA BUNGE LA KATIBA
BALAA ZITO! MDUDE AKINUKISHA MOROGORO, AMVAA MAZIMA NAPE AMTETEA LISSU, ATAJA WABAGUZI KONKI
Просмотров 2,8 тыс.12 часов назад
BALAA ZITO! MDUDE AKINUKISHA MOROGORO, AMVAA MAZIMA NAPE AMTETEA LISSU, ATAJA WABAGUZI KONKI
HUYU JAMAA NI BALAA, AMVAA RAIS SAMIA NA OFISI YA TAMISEMI, ADAI WEZI WOTE WAKO KWAKE, HAWAGUSWI
Просмотров 3,2 тыс.12 часов назад
HUYU JAMAA NI BALAA, AMVAA RAIS SAMIA NA OFISI YA TAMISEMI, ADAI WEZI WOTE WAKO KWAKE, HAWAGUSWI
BODI YA NAFAKA KUTUMIA TSH 200B KUNUNUA MAZAO
Просмотров 712 часов назад
BODI YA NAFAKA KUTUMIA TSH 200B KUNUNUA MAZAO
HUU MOTO WA RUGE NI BALAA, AMVAA RAIS SAMIA NA MABANGO YA BAWACHA, AMTAKA AJIBU HOJA ZA WANANCHI
Просмотров 2,1 тыс.12 часов назад
HUU MOTO WA RUGE NI BALAA, AMVAA RAIS SAMIA NA MABANGO YA BAWACHA, AMTAKA AJIBU HOJA ZA WANANCHI
HUU MOTO WA PROF LWAITAMA SI MCHEZO MKOANI MOROGORO, AIVAA SERIKALI KWA KUSHINDWA KULETA KATIBA MPYA
Просмотров 13 тыс.12 часов назад
HUU MOTO WA PROF LWAITAMA SI MCHEZO MKOANI MOROGORO, AIVAA SERIKALI KWA KUSHINDWA KULETA KATIBA MPYA
SUZAN KIWANGA AUWASHA MOTO MOROGORO, AWAPA MAPIGO MAZITO CCM, ADAI SERIKALI YA CCM INAWAONA MAZUZU
Просмотров 2,9 тыс.12 часов назад
SUZAN KIWANGA AUWASHA MOTO MOROGORO, AWAPA MAPIGO MAZITO CCM, ADAI SERIKALI YA CCM INAWAONA MAZUZU
LISSU AUWASHA MOTO MOROGORO, AWAPA ZA USO NAPE NA MAKALLA, "MSIOGOPE KUFA, MIMI NI SHUHUDA WA KIFO"
Просмотров 6 тыс.12 часов назад
LISSU AUWASHA MOTO MOROGORO, AWAPA ZA USO NAPE NA MAKALLA, "MSIOGOPE KUFA, MIMI NI SHUHUDA WA KIFO"
Unaongea usichokujua au ndo ww huutaki utanganyika
kama Kinana siyo Gobbles ni nani? Kumbe ukiondoa CCM watanzania wote wanataka katiba mpya ia CCM hamuitaki. Je kama wenye nchi wanataka katiba leo nyie mwawazuia au kuwapiga chenga kama nani?
Kila chaguzi jeshi linatoka bara, wanavamia Zanzibar na kuwapiga wazanzibari. Wanaiba and chaguzi wazi. Leo hii zanzibar haina msemo wowote kati ya coloni ya ccm, ccm chama cha tanganyika.
Zanzibar halina jeshi, ni Watanganyika ndo wamiliki wa Zanzibar. Samia ni kibaraka was dodoma bara.
Hakika kwa waelewa lisu ni mtu anae faaa sana kdg magu tulimwamini ccm lkn zaidi ya hapo mimi na kundi langu tumewaachia ccm mtukanwe pekee yenu hamna huluma na watanzania
Jaribu kujibu hoja zao zamsingi.ningetegemea ungekuja namaandishi yamajibu Yao wanacholilia chadema.usione makofi mengi ukajua vimewaingia kichwani maneno je mkulima kama sisi mnatusaidia kiasi Gani.
Huu ndio uthubutu unaotakiwa ili kuipeleka Tanzania kwenye UHURU NA MAENDELEO YA KWELI
Uko vinzuri sana hata Mimi nilikuwa mlale jkt tulilazimishiwa makadi ya ccm hovioo kabisa kabisa
Kinana muogope Mungu tena umezeeka unaulia pacha dunian na jehanam yan hatamulivyopora uchaguzi 2019na2020mwee
Kawadanganye wanyaturu wanzako uko una la msingi
Ni yeye
Ujinga na woga ndio uliojaa , na wala haukutusaidia na wala hauta tusaidia .
Ccm na huyu babu Hawana ladha tena
WAZANZIBARI WANAJITAMBUA!
😮upo sawa
babu kinana kwani hao walio binafsisha hizo msshilika sini ccm unaongea utopolo tuu mmebugi mwambie huyo raisi kuhusu mkataba wa bandari zetu. kawapa kitanda chake yeye analala chini ujinga matope
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania (Jamhuri ya Muungano wa Tanzania).
hakuna anae wapinga chadema kuhusu hoja zao sema kinana unawachosha wenzako maana unaongea pumba tuuuuuuu
kwanini mtanganyika hawezi kumiliki aldhi ya zanzibari ila mzanzibari anaweza kumiliki ardhi huku tanga yika ccm acheni uhunii. muungano hauna maana kwa kipindi hiki ??????
Msiseme sauti Tanzania, tujiite sauti ya Watanganyika. Hivi sasa tuna dai katiba gani ?. Tunadai katiba ya muungano iboreshwe, au katiba Tanganyika. ?. Mimi naimba tudai katiba ya Tanganyika. Na tusione aibu.
Ccm kwa propaganda hawajambo, tofauti ya bara na visiwani inaonekana wala sio siri
Kwani hii nchi watu kukusanyika na kupashana habari ni haramu au hisani ya mtu??
Hamna lolote la maana zaidi ya propaganda Watanzania wanataka mabadiliko ya kweli
Mzee kinana mm nilifikiri ulipata akili wakati ule wa magufuli.kumbe ww ni mchumia tumbo tu!
Kama.nyie.ni.wazalendo.kwanini.watoto.wenu.mnazidi.kuwapa.vyeo .watoto.wetu.maskini.watapata.kazi.wapi
Tatizo hatujitambui,Tukianza kujitambua Tutaondoa jina la Tanzania mioyoni mwetu na midomoni mwetu,,
👍
Tuko tayari kusikiliza hoja
kiukweli Chadema wako very open.waambieni ukweli watawala wetu, wanajisahau sana.vyakula vipojuu wao wanajisifia kujenga shule wakati waalimu hakuna.
Hongera Mzee kinana somo la uraia limeifa darasa Lina usikifu mpaka raha
Hujawaelewa vizuri! Uliza mwananchi vmmoja mmoja watakuthibitushia waliyoyasema.
Uzuri ni kwamba ccm wamekubali kulilia na maonefu makubwa huko nyumba hivyo wenzao wanahaki ya kuwa na hofu na ninyi kuwa nyie sio wakweli na mnayotamka.
Mzee kinana kiapo kimegeuka kuwa ujinga viongozi wanaapa lakini nihovyo raise kavunja Katina kwa kuita KATIBA ni kajitabu kavunja kiapo kwa kuuza rasilimali za chi Kama BANDARI na MBUGA ZA WANYAMA kwa hiyo KIAPO KWA TANZANIA SIO ISHU
Sipotezi bando langu hapa
Kwani si Kweli we mzee? Samia ni Mzanzibari na anatuonea sana Watanganyika hawezi kuuza ardhi zetu,bandari zetu na kuwafukuza watu kwenye Maeneo Yao...Hatumuelewi kbs katika Hilo...Akauze bandari za kwao..
Labda urais wa TFF
Punguza porojo mkuu unatuchosha to a Sera tukuelewe
Koma wewe Mzee kuwataja WaTanzania. Sisi tunampenda ikiwa wewe humpendi na kikundi chako kidogo, sisi haituhusu. Wacha choko choko.
This is the machine tundundulisu has been shecking Tanzania Palament since tundundulisu was inside palament from palament to lntanationol voice into Tanzania politics
Serikali ya majimbo hapana hapana. Ndiyo inaangamiza leo Ethiopia.
Hapo korogwe na hale tanga tu maji matope kabisa licha ya kungune ni balaa tupu. Wachieni nchi yao.
Sasa muungano niwa nini?. Achaneni nao hao wazanzibari. Wanatusaidia nini?.
Nice idea
Umesema kweli yote ndugu.
Nme gugo bendera ya tanganyika haipo
Akili nyingi
Hatujifunzi ktk mataifa mengine kisa Wana siasa wanamiliki majeshi police usalama wa taifa magereza wanasahau nchi inagawanyika ktk hasira za wengi kwa muda mrefu bila matibabu ya hasira zao mwanadamu hujua mauvu yake sio ya mtuu mwingine kuwa akisikia uchungu mwingine na yeye husikia wakati yeye Hana hicho kidonda huo ni ufinyu wa kuona mbele Wana siasa walioko madarakani tendeni haki tubaki kuwa salama hata libiyia sudani naijeria Burundi Rwanda wote Wana siasa walikuwa wanamiliki majeshi police na usalama wa taifa magereza lakini wananchi wakikuchoka haki ya hewa huharibika ccm tuanze kujisafisha sasahivi na kukubaliana mshindi ktk Sanduku la kura Ndio tutakuwa salama lakini kufanya iwe lazima mara nyingi watawala wa nguvu kikinuka kukalia kiti kwa nguvu ase balaa lake wananchi wakikinukisha Huwa nchi hugawanyika au viongozi walio kalia kiti kwa nguvu hutafuta pa kwenda kuishi sababu ya kutumia nguvu ktk kukaa madarakani
Hata kuwa na mafuta Zanzibar sio sulisho ktk nchi za kiafrica kwa nn tuangalie naijeria libiyia tanzania yenyewe toka uhuru rasilimali ngapi tunazo congo shida ya Africa sio rasilimali shida ya Africa ni technology elimu yenye technology sio hii elimu nyeupe lsio na technology ktk nchi za kiafrica fatuma karume anakigeu geu km mtu asiyejijua lakini mbali na hayo tunaona fatuma karume anataka kutumiwa na Wana ccm kupoteza muelekeo wa msimamo wa watanganyika
Rais wangu Samia ni Msikivu, lakini huamua kwa kupima na hekima.huwezi mlaumu Rais kwa namna hiyo kisa kiti ktk umoja wa mataifa.Mzee unamawzo lakini huna hoja.
Wazanzibar sis tunataka Zanzibar yetu hatutaki nchi moja hata kwa mfano